Maendeleo ya watu huletwa na watu wenyewe kwa kushirikiana na viongozi bora katka mazingira ya amani, utulivu na upendo.
Kiongozi ambaye siku zote ni kuchochea mpasuko na vurugu hafai hata kidogo.
Nitoe mfano hai kwa kiongozi kama Makonda. Kiongozi huyu ametuhumiwa na kwa ushahidi ulio wazi...
Habarini,
Mimi bado siamini ktk biblia na msahafu hasa katika kuijenga AFRIKA. Kumekuwa na taratibu za viongozi wa Afrika kuapishwa kwa kushika biblia na msahafu lakini wakawa wezi,mafisadi na wahujumu uchumi pasipo kudhurika wala kuogopa.
Nimekuwa nikiona baadhi ya jamii za kiafrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.