Kwanza hakikisha unampunguzia majukumu maana hutafuti mtumwa, nunua baadhi ya mashine mf. Mashine ya kufulia, zipo za laki 6 nzuri sana, mashine ya kudekia zipo za laki 4 nanusu nzuri sana. Ukiweza unaweza tafuta na yakuoshea vyombo ila hii si lazima.
Pili tafuta mdada ambaye hata wewe...
Wadada wa kazi wamekuwa ni kundi muhimu sana kwenye jamii lakini lazima tukubaliane kwamba kuna watu hali yao ya maisha haijafikia hatua ya kuweza kumuajiri mtu na kumlipa kama inavyostahili na kwa wakati. Lakini wamekuwa wakiajiri wadada wa kazi kama fashion tu.
siku hizi mtu anawasiliana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.