mshanar jr

  1. Enyi madereva wa masafa marefu acheni roho mbaya dhidi ya wasaidizi wenu matingo

    Natumai wote ni wazima wazee kwa vijana poleni na mvua za masika zinazoharibu miundombinu yetu. Moja kwa moja nianze kwa kusema kama dereva wa masafa marefu niliyetundika daruga 2010. Uliza Congo uliza Malawi Zambia Uganda kenya Burundi rwanda hapo nikiwa na chuma cha msweden scania 113 pulling...
  2. B

    Uendeshaji wa boda boda na baiskeli kwa muda mrefu unapunguza nguvu za kiume; waendesha boda boda kuweni makini

    UENDESHAJI WA BODA BODA NA BAISKELI KWA MUDA MREFU UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME; WAENDESHA BODA BODA KUWENI MAKINI. Leo naenda kwenye mada moja kwa moja, maana hili ni suala nyeti sana. Kwa sababu wengi huwa tunataka ushahidi, naomba kila mmoja atakayepita kwenye huu uzi, akafanye utafiti wake...
  3. Simuulizi/documentari nzima ya kusisimua kwenye harakati za kuzima moto mlima Kilimanjaro na nilivyoshuhudia kifo mbele yangu lakini nikapona

    #SEHEMU YA KWANZA Naleta full documentary nilivyo husika kwenye janga la moto mlima kilimanjaro Kwanza Mimi nilishapitia mafunzo magumu ya jeshi 843Kj nadhani hii pia ilichangia kuepuka kifo. Stori inaanza asubuhi 13/10/2020 nilivyofika Marangu mtoni sehemu...
  4. A

    Naomba ushauri. Nna tatizo serious

    Mm n kijana wa 28yrs. Ilitokea kupata watoto wawili wa kike na binti wa kichaga (muuru) ambapo watoto hao wote walikuwa prematured chini ya miezi 7na walikufa wote kwa nyakati tofauti (walipishana mwaka moja). Mtoto wa wanza alikuwa prematured wa miezi6 hospital ilikataa kumtoa ingawa...
  5. E

    Swali kwa ma player na watu watu wagumu. kama wewe sio mgumu au player usisome

    Jaman habari zako? maaana najua akat unasoma uko mwenyewe!. Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kupendwa na mdada mmoja hapa jirani juzi alianza kuonyesha dalili kitambo.Mfano nikikutana nae anikumbatia kwa nguvu anafrahi ana changamka sana!. lakin mimi kusema kwel ndo walaaaaaaa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…