Rais wa Marekani Joe Biden, ameiteua rasmi Kenya kuwa mshirika mkuu wa taifa hilo asiye mwananchama wa NATO.
Hatua hii ina maana kwamba licha ya Kenya kutokuwa katika sehemu ya Jumuiya ya Kujihami ya NATO, ina ushirikiano wa kina wa kimkakati na usalama na Marekani.
Uteuzi huo unafanyika wiki...