Huu ni msimu wa uuzaji mahindi na wanunuzi wakuu ni serikali, lakini ajabu nimetembela magodawni kadhaa hakuna mashine ya kupepeta taka kama hii hapa chini.
Wanatumia sefa za waya ambazo kwa kutwa sefa moja haimalizi tani30 lakini hiyo mashine inarahisisha kazi kwa kutwa inamaliza tani90...
Wakulima wa mahindi Kanda ya Kaskazini ambapo ni pamoja na Kilimanjaro, Arusha, na Kilindi katika mkoa wa Tanga, wapo hatarini kupata hasara katika kilimo cha mahindi kutokana na kile wanachodai mvua kukatika mapema.
Wakulima hao wengi hawajui cha Kufanya hadi sasa kutokana na kuwa waliwekeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.