mtaa wa ginery

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Singida: Baadhi ya mitaa gari la taka halipiti kwa wakati, wiki ya 3 uchafu umezagaa mitaani

    Habari. Kuna kero moja Manispaa ya Singida, kumekuwa na tabia ya uchelewaji wa kuchukua taka katika baadhi ya maeneo hasa Ginery. Wananchi wanatoa taka nje siku ya kubeba hawaji kuchukua. Hii ni wiki ya tatu taka zimezagaa kwenye mitaa tu. Na ni tatizo limeanza toka mwezi wa 12 Mwaka jana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…