mtaala mpya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Taasisi ya elimu yawataka wazazi wenye watoto shuleni kuwanunulia vitabu vya mtaala mpya, Je, huwa unawanunulia vitabu vya shule watoto wako?

    TAASISI ya Elimu Tanzania (TET)imetoa rai kwa wazazi na walezi wenye watoto wanaosoma madarasa ya awali, msingi, sekondari ,vyuo pamoja na watu wenye mahitaji maalum kununua vitabu vya mitaala mipya vinavyopatikana katika taasisi hiyo na kuuzwa maeneo mbalimbali nchini Rai hiyo imetolewa Jijini...
  2. Zanzibar-ASP

    Waislamu amkeni sasa, mtaala mpya wa elimu hauna nafasi ya kuwabeba kiujanja watoto wenu!

    Karibu taasisi zote za dini ya kikristo zilizojikita kwenye sekta ta elimu zimekuwa busy mnoo kuusoma, kuuelewa, kujiandaa na kuwaandaa watumishi wake namna ya kwenda sambamba na ujio wa mtaala (sera) mpya wa elimu. Jambo hilo limekuwa likifanyika vivyo hivyo kwa jamii za waumini wa kikristo. Ni...
  3. D

    Na sisi wakatoliki tunaomba kilatini kiingizwe kwenye mtaala kama kiarabu kilivyo ingizwa kwa ajili ya waislam

    kwa sisi wakatoliki tunaitaka serikali ya dr. Samia, aingize kilatini katika mitaala yetu. Japo najua kiarabu kitafutwa siku raisi mwingine akiapishwa.
  4. Zanzibar-ASP

    MTAALA MPYA WA ELIMU: Kilio kipya kwa watoto wa maskini na janga la kizazi chao chote!

    Nimefanikiwa kuupitia muongozo wa mtaala mpya wa elimu hapa Tanzania ambao umezinduliwa hivi karibuni, na hichi ndicho nilichoweza kukiona kwa jicho la upeo. 1. Kwa mfumo wa elimu yetu kwa shule za serikali hauwezi kutekelezeka. 2. Hauna kipimo chochote MADHUBUTI cha kumpima mwanafunzi kila...
  5. Camilo Cienfuegos

    DOKEZO Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

    Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya. Pia soma: ~ DOKEZO - Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho ~ Taasisi ya Elimu...
  6. A

    KERO Mtaala mpya wa Kidato cha Kwanza 2025, masomo yanahimiza ICT lakini shule nyingi hakuna ICT ROOM na Watoto hawana msingi

    Serikali ina haja ya kutazama mpya juu ya suala la mtaala ulioboreshwa wa kidato cha kwanza 2025, kwa hakika mtaala huo haukidhi vigezo kwa mtoto wa kidato husika kwa sababu baadhi ya mada mfano Baiolojia alikuwa anajifunza kidato cha pili hadi cha nne lakini zimerudishwa form one. Masomo mengi...
  7. B

    Wamiliki shule za EMs waumizwa na mtaala Mpya. Wazazi wengi sasa wanawatoa watoto Wao shule za EMs kiwarejesha Kayumba

    Hakuna watu walio athiriwa na mtaala Mpya wa Elimu Tanzania kama wamiliki wa shule za EMs . Kwa sababu ya mtaala huo hata wale wazazi walio kuwa vichwa ngumu kuwatoa watoto Wao Ems kuwarejesha Kayumba Sasa wameanza kufanya hivyo Kwa kasi ya ajabu. Jijini Dar es salaam pekee Kuna mafuriko ya...
  8. Extrovert

    Hii imekaaje kuhusu huu mtaala mpya wadau

    MABADILIKO MAPYA YA MITAALA YA ELIMU SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI NA VYUO 2025 MABORESHO YA MITAALA AMBAYO YANAENDA KUBADILISHA MFUMO WETU WA ELIMU: 1.Mtihani wa darasa la Saba utafutwa. 2.Mwanafunzi akianza darasa la kwanza lazima amalize Kidato cha nne. 3.Kutakuwa Mtihani wa Upimaji wa...
  9. D

    Kesho ndo utekelezaji wa mtaala mpya kwa kidato Cha kwanza unaanza: vitabu havijafika mashuleni, mafunzo kwa walimu yametolewa wakati likizo na Bure..

    Zilipita wiki 2 Hadi 3 ndipo yakatangazwa mafunzo ya walimu kwa ajili ya kuuanza mtaala mpya! Walimu wengi hawakuhudhuria sababu walikuwa likizo (waliyoipata kisheria kabisa kwenye ess). Waliohudhuria, walilazimika kugharamika kidogo kinauli pamoja na muda wao wa kupumzika. Mafunzo yalikuwa...
  10. Annie X6

    Mtaala mpya wa kidato cha kwanza 2025; Somo la Biashara ni lazima kwa wanafunzi wote nchini?

    Wajumbe nimepitia mtaala mpya nikakuta masomo 6 ya lazima moja wapo ni somo business studies ikielezwa kwamba ni mbadala wa commerce. Somo hili linaambatana na hesabu, historia ya Tanzania 🇹🇿 , Kiswahili, Kiingereza na Jiografia. Masomo 6 ya lazima, kama business studies(commerce) zamani ni...
  11. T

    Mabadiliko ya Elimu Yetu Hayaepukiki. Ila ni lazima tuwe Makini kwenye Utekelezaji wa Mabadiliko ya Mtaala Mpya wa Elimu

    Kuna msemo unasema "Umeruka Vumbi Ukakanyaga Matope". Hakuna ubishi elimu yetu inahitaji over-hall, ni kweli kabisa kama tunataka kusonga mbele kielimu kuendana na ulimwengu wa sasa wa sayansi na tekinologia lazima tufanye mabadiliko kwenye mfumo wetu wa elimu. Tumeupitia mtaala mpya wa...
  12. Roving Journalist

    Prof. Mkenda: Kuna matatizo ya Kiufundi, Mtaala mpya wa Kidato cha 5 utaanza Mwaka 2025, kutakuwa na masomo mawili mapya kwa Wanafunzi wote

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema Wizara wakati Mamlaka zikijiandaa kwa ajili ya utekelezaji wa Mtaala mpya ngazi ya Kidato cha Kwanza kuna tatizo la kiufundi limetokea na hivyo Mtaala huo unatarajiwa kuanza 2025. Licha ya kutofafanua ttizo hilo, Waziri amesema...
  13. S

    TAMISEMI na Sarakasi za Mtaala Mpya

    Kama kumbukumbu zangu hazijakosea ni mwaka 2004/2005 waziri mwenye mamlaka alibadilisha mtaala ambapo moja ya vitu vya hovyo vitakavyobaki kama simulizi za muda mrefu ni kuunganisha somo la fizikiz na kemia na kupata somo la physics with chemistry pia kufuta somo la agricultre na mengine...
  14. Q

    Kukosekana kwa msimamo wa Mtaala Mpya wa Masomo ulioagizwa kutekelezwa toka Julai 1, 2024

    Shule za advance zilifunguliwa July 1 2024 na tukapewa maelekezo ya kutumia mtaala ulioboreshwa. Tukapeenda na seminar zilizochukua takriban siku 3, kutoka mtaala uliopita kuna masomo yalifutwa kama General studies(GS), na kuna yaliyobadilishwa kama Commerce kwenda business studies, kuna...
  15. A

    KERO Mtaala mpya wa kidato cha tano hauleweki

    Suala la mtaala mpya kidato cha tano 2024 bado ni mkanganyiko lipi tamko la serikali juu ya hilo. 1. Kuna baadhi ya shule walishapewa semina juu ya utekelezaji wake lakini shule zingine bado. 2. Kuna baadhi ya shule hazijapewa semina hivyo wanatekeleza mtaala bila uhakika zaidi. 3. Kuna baadhi...
  16. Jkitamoga

    Je, kuna walimu waliopata mafunzo ya mtaala mpya kidato Cha Tano na Sita?

    Napenda kufahamishwa kama Kuna mkoa au wilaya wamepewa mafunzo ya mtaala mpya kwa kidato Cha Tano na SITA.
  17. dour

    SoC04 Nini kifanyike katika utekelezaji wa mtaala mpya ili kuzalisha wahitimu wenye weledi katika soko la ajira

    UTANGULIZI Changamoto ya ukosefu wa ajira nchini imeendelea kukua kwa kasi huku sababu zikielezwa kua ni ufinyu wa bajeti na wahitimu wasio na weledi. Ukosefu wa ajara unapelekea vijana wengi wakijiingiza katika matumizi ya madawa ya kulevya pamoja na kuongezeka kwa vijana tegemezi. Ukosefu wa...
  18. N

    Sekondari zisizo za amali zaingia mkenge kufundisha mtaala mpya

    Ndugu wadau, Wote tunajua kwamba mtaala mpya umeanza mwaka huu 2024 kama ilivyoelezwa mara nyingi na wakuu wa wizara ya Elimu na hadi Waziri mwenyewe. Kadiri ya maelezo ni kwamba shule za sekondari zitakazoanza na mtaala mpya hasa kwa form one ni zile chache tu zenye mkondo wa amali. Shule...
  19. Benaya123

    Kwanini serikali isitenge muda wa kutosha kwa walimu kufundishwa mtaala mpya

    Naona Wizara ya Elimu kushirikiana na TAMISEMI wanaendelea kufanya maboresho kwa walimu juu ya uelewa na utekelezaji wa mtaala mpya ulioletwa. Shida yangu iko pahala, Maafisa Elimu ngazi za mikoa na wilaya wao walipitia mtaala huu kwa semina wezeshi takribani kw asiku 5, baadae wakafuata...
  20. Annie X6

    Yapo maeneo mabadiliko ya mtaala mpya ni kukurupuka kulekule alikofanya makosa Mungai

    Mapendekezo yamesambaa kila kona. Ni mpuuz pekee atasapoti kufuta somo la uraia na general studies Kuona mwalimu mwenye degree anajua kuliko mwenye diploma katika level za sekondari ni mjinga pekee atakuelewa. Awali sheria ilimtaka mwenye degree afundishe 3 to 4, diploma 1 na 2 ilikuwa bora...
Back
Top Bottom