Ndugu zangu hapa nilipo na mtaji wa laki saba na nipo Arusha.
Nilikuwa na wazo la kufungua biashara ya internet cafe ila nikiangalia kwa biashara hii mtaji ni mdogo.
Nilikuwa naomba wazo la biashara la mtaji wa laki saba ili niweze kuzungusha hela.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.