Ripoti ya takwimu za uhalifu na usalama barabarani ya mwaka 2023 kutoka jeshi la polisi Tanzania kupitia ofisi ya takwimu {NBS}, inasema kuwa mikoa takriban 40 ya kipolisi nchini imesajili jumla ya matukio 73 ya utekaji watoto wadogo, hata hivyo kati ya idadi ya mikoa hiyo mikoa 7 ya kanda ya...