mtandao wa tigo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sex body

    Naomba mbinu ya kukukwepa utapeli wa mtandao wa Yas!

    Wakuu namtanguliza salamu nadhani mko salama kabsa, katika shughuli zangu na kutokana na mazingira ninayo ishi huduma zangu za kimawasiliano na kimtandao hua matumia mtandao wa Tigo (yas) sasa nimekumbana kadhia ya kukatwa salio kila nikifanya miamala na kila nikinunua vifurushi kupitia mtandao...
  2. Inside10

    Mtandao wa tiGO wabadili jina, sasa kuitwa YAS

    Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa...
  3. toriyama

    Ukituma sms yeye neno "SEX" kwa mtandao wa TIGO ujumbe haziendi/kumfikia mlengwa nani kuruhusu hili?

    Ukituma sms yeye neno "SEX" kwa mtandao wa TIGO ujumbe haziendi/kumfikia mlengwa nani kuruhusu hili? Lakini ukiandika kwa kuacha nafasi sms inaenda au ukiweka alama katikati ya neno SEX mfano SE.X sms ndio inaenda nani kuruhusu mambo haya?
  4. Wakusoma 12

    Leo mtandao wa Internet kwa mitandao ya tigo na Airtel upo chini sana ama kwangu tu wazee?

    Huduma hii imenisumbua tangu asubuhi mtandao upo chini sana kwenye laini yangu ya Tigo ikabidi niweke Airtel napo mtandao wa Internet upo chini sana. Je, wakuu ni simu yangu tu ama na wengine mna experience suala kama langu?
Back
Top Bottom