mtandao wa yas

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mhandisi Mzalendo

    Mtandao wa YAS na roaming network wamefeli

    Habari wanajukwaa, Nimekua mtumiaji wa mtandao wa YAS (Tigo) kwa miaka sasa. Ila mtandao huu umejaa janja janja sana. Wakati wanahama kutoka jina la Tigo kwenda YAS mtandao huu ulijitabainisha upo nchi tano. Tanzania Togo Comoro Senegal Madagascar Ila cha kushangaza huu mtandao unapotoka nje...
  2. Mshamba wa kusini

    Kampuni ya YAS ni failure katika huduma zao hasa Mix by YAS

    Habari Nimetumia mtandao huu takribani miaka 15 na hata baada ya kubadilishwa jina na umiliki kutoka tiGO kuwa YAS bado nilibaki kuwa mteja wao. Kwa muda mchache niliotumia mtandao huu nimetokea kuchukia sana huduma zao hasa huduma yao ya Mix by YAS, hii imetokea baada ya uvumilivu wa muda...
  3. Mr Why

    Unalipi la kusema juu ya mtandao wa YAS

    Ndugu zangu siku za karibuni mliifahamu kama kampuni ya TIGO sasa imekuwa YAS una lipi la kusema juu ya mabadiliko haya Hii imekaaje tangu ilipobadilishwa na kuitwa YAS huku huduma ya fedha ikiitwa MIXX by YAS badala ya TIGO PESA?? Je tutegemee mafanikio makubwa ama kifo cha mende??
  4. K

    Mtandao wa Yas na meseji za kero

    Kila muda meseji za ovyo ovyo, Mara Yas majift,mara upuuzi wa marathon,mara sijui ujinga gani, ujinga ujinga tu muda wote!
  5. M

    YAS kiboko, matatizo kibao katika huduma zao

    1. Badhi ya namba unajibiwa namba unayopiga umekosea chunguza tena, inawezekana ya mumeo au mkeo. 2. Ukitaka kuunganisha YAS pesa unaabiwa bad connection or wrong MMI 3. Ukitaka kujiunga bando, mtandao unakatika. Kweli huuu mtandao KIBOKO, siku 2 mambo yamekuwa moto moto
Back
Top Bottom