Huna haja ya Kuteseka: Ni mtazamo tu!
Watu wako bize kusaka nguvu za ki.....maji ya.... Nimtazamo tu, tulia!
Mtazamo (attitude) ulionao ndio unaokufanya uishi hivyo ulivyo. Hapo ulipo upo mahali ambapo ni matokeo ya mtazamo wako! Huwezi kuwa zaidi ya unachofikiri. Tulia, acha ubinafsi, saidia...