Mapungufu ya mtu, yanaonekana katika ubinadamu wake, kwa kile anacho kifanya, hata hivyo tuna uwezo wa kufanya yote, kuwa makamilifu bila ya kurudia makosa yoyote. Jifunze. Unapotaza mapungufu ya mtu, fanya bidii sana wewe kuyasawazisha mapungufu yake, na huu ndiyo uwajibikaji. Hivyo uwajibikaji...