Dodoma ni Makao Makuu ya Nchi kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na hivyo kumekuwa na changamoto ya kutokuwepo kwa Viongozi waandamizi wa Serikali katika ofisi zao.
Mwaka 2017, aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, alitangaza rasmi kuhamia kwa...
Wale wanaotafuta msaada kutoka kwa shetani mwanzoni wanapewa masharti marahisi sana.
Kwanza kabisa fahamu ushirikina wowote lazima kufanya Update ili uendelee kubaki katika Peak. Unapoenda kuomba msaada kwa shetani mwanzoni mambo ni shwari sana.
Mfano mtu anatafuta utajiri mwanzoni huwa rahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.