mto luiche

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miili ya wanafunzi wote waliozama Mto Luiche imepatikana

    Mwili wa mwanafunzi Zabibu Jumanne (8) ambaye ndiye pekee alikuwa hajapatikana kati ya wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Kagera Manispaa ya Kigoma Ujiji waliozama ndani ya maji ya Mto Luiche baada ya mtumbwi waliopanda kupinduka umepatikana. Kupatikana kwa mwili wa Zabibu kumefanya idadi ya...
  2. Serikali kugharamia mazishi ya wanafunzi waliofia mto Luiche wakivuka kwenda shule

    Serikali imesema itasasimamia na kugharamia taratibu zote za mazishi ya Wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Kagera iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji waliofariki kwa kuzama kwenye Mto baada ya mtumbwi kupinduka wakati wakielekea Shule. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amesema hayo baada...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…