mtoto hapendi kula

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Naombeni msaada wa mawazo mwanangu hapendi Kula

    Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula. Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA. Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…