mtoto kautaka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Timu imejaa maveterani 😅halafu Jumba bovu kaangushiwa Master Gamond

    Yaani mambo ya nyuma mwiko ndo kama lile tukio la Madaktari wa Muhimbili, Mgonjwa wa kichwa wakampasua mguu na wa mguu wakampasua kichwa. Timu imejaa wastaafu telee , badala waimarishe kikosi Chao walete vijana wenye Ari na nguvu mpya wameenda kumtoa kafara Gamond. Mechi ya Tabora kakosekana...
  2. Nini maana ya msemo mtoto kautaka? Naona umebamba sana kila kona

    Wakuu huu msemo wa mtoto kautaka una maana gani? Jana ninerudi zangu home na wenge la kufungwa na yanga kijana wangu mdogo miaka mitano tu. Yuko bize anaimba mtoto kautaka mtoto kautaka, sasa nikabaki namwangalia yeye yuko bize mtoto kautaka 😀 Kila kona mtoto kautaka huu msemo una maana gani?
  3. Mwanangu wa drs la 2 nimemuuliza methali ya mtoto akililia wembe amenijibu mtoto kautaka..

    Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwangalia na jamii hii ilivyo kazi ipo... Taifa la kesho linabalaa sana.
  4. Nimetokea kuichukia wimbo wa Mtoto Kautaka, kwa namna moja au nyingine umehusika kuchochea maovu

    Nimetokea kuuchukia sana huu wimbo😡😡 Huu wimbo umehusika kuchochea maovu na huenda utazidi kuleta maovu mengine mazito. Pia soma: Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya tukio la kumlawiti binti wa 'Yombo'. Wasema binti yupo salama Kila ninapousikia huwa nahisi namuona...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…