Habari za Muda Huu waungwana,
Kwa wale Mliowahi kupata Watoto, mkawakuza mpaka Wakakua na afya njema, Mlizingatia mambo yapi Pindi walipozaliwa?
Mimi niliwahi kupata mtoto, Bahati mbaya akafariki, Ninaomba kujuzwa wa wenye uzoefu ni mambo gani Muhimu kuzingatia.
Mambo baadhi ninayohutaji...