History sijui nielezeje,
Nilitengana na baby mama wangu, kwa muda mrefu, nakuja kumtafuta tena mshenzi yule nakuta kashaolewa na anakachanga. Hapo ndipo nikaona option nikumchukua best friend wangu ila sasa nimgumu huyo.
Ni dada mmoja mtoto wa kishua, alafu ni mlokole wale lia lia kabisa...