mtoto wa miaka 12 ajiteka mwanza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mtoto wa miaka 12 amejiteka akiwa na mdogo wake huko jijini Mwanza!

    #HABARI Katika hali isiyo ya kawaida mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina Frola Samson (12), mkazi wa wilaya ya Ilemela amepatikana baada ya msako wa Jeshi la polisi Mkoani Mwanza akiwa eneo la Buhongwa ambako alijificha yeye na mdogo wake aitwaye France Samson (8) huku akidanganya kuwa wametekwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…