mtoto wa nje ya ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Aliyezaa na bwana harusi aharibu harusi ya mwenzie kwa kupeleka mtoto aliyezaa na mwanaume huyo

    Kila kitu kilienda kama kilivyo kua kimepangwa mpaka pale mama moja lie zalishwa na bwana harusi alivo leta mtoto wa bwana harusi kama zawadi ya harusi kwa bibi na buana harusi. Wanawake wengi kujilegeza kwa wanaume wa wazalishe ili wa olewe, ila wengi kugonga mwamba na kubaki kama singo maza...
  2. kavulata

    Mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wako, usimfiche

    Anaesema kuwa mtoto wa nje ya ndoa ana hitilafu kijamii na kwa Mungu afikirie upya. Mwenye uwezo wa kuumba ni Mungu tu peke yake. Kama umebahatika kupata mtoto wa nje ya ndoa mkumbatie sawa na wanavyokumbatiwa watoto wengine wote. Msimfiche, mtangaze, mlete nyumbani kwako umlee bila ya...
Back
Top Bottom