~kondakta wa daradara < hawezi kupiga kelele >
~kusaidia fundi < wanaita kazi ngumu>
~kuuza duka <hawawezi kukaa sehem moja>
~biashara mtandaoni < wanakwambia utapeli>
~udereva < wanaogopa ajari >
~kuuza mishkaki,chips,ndizi,karimati,mihogo,migahawa <biashara ndogo hutoboi>
~kilimo hakilipi...