Mada tajwa yahusika
Karibu kwa mapendekezo pamoja na sifa za basi husika, kama una na contact itakua poa zaidi
Nasikia hizi basi huwa hawaanzii stendi (ubungo kwa zamani) wanaanzia mbagala. Je, ni kweli?
Kwa siku hizi sijajua kama wanaanzia mbezi au bado ni mbagala. Naomba kujuzwa...