Ndugu watawala wa jamhuri ya muungano wa Tanzania bado muna muda wa kujirekebisha.
Msipuuzie kelele za umma mtakuja kulia kilio Cha kusaga meno
Walinda nchi uchoka kulinda tawala zisizoeleweka.
Watu hawalali wakiwalinda watu wasio na maadili
Kwa jinsi mtawala unavyofanya mambo ya hatari...