muda wa masomo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. maroon7

    DOKEZO Wizara ya elimu imeachia shule za binafsi msingi zifanye zitakavyo? Watoto wanasoma masaa 12 na hata zaidi

    Kwa muda mrefu, shule binafsi za msingi zimekuwa na utaratibu wa kupitiliza muda wa masomo kwa madarasa ya mitihani, kiasi cha kuwafanya watoto wakae darasani kwa saa nyingi kupita uwezo wa kawaida wa binadamu. Cha kusikitisha, serikali haionekani kujali hali hii. Ni jambo la kushangaza kuona...
  2. Magical power

    KERO Shule ya Bungo Mlimani ni changamoto, wanafunzi wanachelewa kutoka

    Kuna shule ipo Morogoro mjini inaitwa shule ya msingi Bungo Mlimani. Hii shule ni kipengele sana yaani mtoto wa darasa la pili anatoka nyumbani saa kumi na mbili asubuhi anarudi nyumbani saa kumi na Moja jioni, akiwahi sana ni saa kumi jioni. Hapa mtoto anateseka sana kuanzia njaa plus uchovu...
Back
Top Bottom