muendelezo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ni muendelezo wa utapeli wa soka bongo pamba jiji na yanga matokeo yamekwisha pangwa..hakuna mpira...

    Kama ulivyokuwa utapeli wa singida,kmc,mashujaa na leo tunakwenda shuhudia muendelezo ule ule wa mfadhili mkuu wa yanga kwenda kuweka fedha yake kwa klabu anayoidhamini eti bonasi ni upuuzi na matusi makubwa kwa mpira wa bongo na muuendelezo wa kuwaona watanzania hawana uwelewa..ujinga tu ndio...
  2. No doubt!: Kwa yaliyomtoka jana ni muendelezo wa kuwapa point tatu washindani wake kisiasa.

    Wasalaam, Wahenga hunena "Kimtokacho mtu kinywani ndicho kiujazacho moyo wake" kwa maneno yake ya jana kwa mtu mwenye kufanya tafakuri basi ni dhahiri shahiri yale wasemayo watu yana ukweli ndani yake, hata kwa sisi tuliokuwa tunampa benefit of the doubts basi ameprove na kutudhihirishia...
  3. Je, ni kwanini Utajiri wa Mtanzania (Muafrica) hauna muendelezo?

    Kwa sasa Utajiri wa nchi na wafanyabiashara wakubwa na wanaotambulika RASMI upo chini ya wasomali, wahindi na waarabu! Rarely au hakuna kabisa kumkuta Mtanzania amepenya hapa. Kama Mtanzania akifanikiwa kuwekeza na akafika angle fulani ya kuwa na UTAJIRI RASMI kisha ikitokea amefariki, basi...
  4. Nani mwenye muendelezo wa hii habari ya wananchi Mwanza kuzuia watu waliovaa kiraia kukamilisha ukamataji?

    Jana kulisambaa video ikisemekana ni maeneo ya mwz. Wananchi wakilisonga na kuzuia gari kutoondoka na watu waliokamatwa hadi hapo ocs wa pamba aje.
  5. Teknolojia: Kivuli cha Ushindi au Majuto bila muendelezo nanenane itabakia kuwa ya msimu tu.

    Miaka ya 1990 na 2000, kamera za kidigitali zilipoanza kujitokeza, wapiga picha wengi walizidharau. Walijua kuwa filamu ndiyo msingi wa kazi zao, na kwamba digitali ilikuwa tu “mfumo wa muda.” Lakini dunia ilibadilika haraka. Kamera za kidigitali zilikuja na ufanisi, urahisi, na ubora ambao...
  6. A

    DOKEZO Ufisadi Nane Nane 2024 - Mamlaka husika zichunguze mchakato mzima

    Wakuu, Nane-Nane ya Mwaka huu imegubwikwa na ufisadi wa hali ya juu hususani katikamaandalizi yake. Hii yangu inakuja kama muendelezo wa kile amba ho kiliwekwa wazi kwamba kuna vyoo viwili tu katika eneo lote kitu ambacho kimesababisha kero kubwa kwa washiriki. Ukienda mbele zaidi haya ndio...
  7. Kwa muendelezo unavyoenda yale yaliyomkuta Manji yataenda kumkuta Glezabhai

    Nikiangalia mwelekeo unavyoenda siyo kwa bahati mbaya. Ni mpango ulisukwa muda mrefu sana. Sasa hivi upo katika execution tu. Na bahati mbaya Glezabhai naye kaingia kwenye mfumo. Goli lazima ziingie nyingi. Manji hakuelewa kuwa wakati wake umefika, angejiweka pembeni haraka na kuiachia timu...
  8. Mradi wa NHC wa Safari City Arusha umetelekezwa?

    Vipi kuhusu mradi wa NHC wa safaricity arusha umetelekezwa? Anayejua muendelezo tafadhali atuhabarishe
  9. Msaada wa muendelezo wa riwaya ya saa za giza totoro

    Am sorry guyz natafuta muendelezo wa riwaya ya saa za giza totoro coz aliye weka huu uzi hakumaliza so anaeweza kutoa msaada atusaidie wote ambao hatukumaliza huu uzi
  10. Mwenezi Makonda atembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Daraja la Pangani lenye thamani ya zaidi ya tsh bilioni 80

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amewataka Wananchi wa Pangani kuendelea kukiamini Chama Cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha nyingi kwa ujenzi wa Miundombinu ya...
  11. Hivi kwanini hakufanya muendelezo wa hili jambo?

    In the holy books our almighty has reveal kuwa amemuumba binadamu kutokana na udongo(adamu) na kumtoa mwenza wake katika ubavu wa kushoto uliopinda!je swali kwanini hakuna muendelezo wa huu umbaji?wa kumtoa mwenza pembeni huenda kungepungua maslay queen na madanga wa mchongo.
  12. Kangaroo Courts - Muendelezo wa Maigizo (Nchi haiendeshwi kwenye Luninga)

    Kinachoendelea inabidi kifanyike kuanzia ngazi ya mtaa kwa wanajamii, Kinachoendelea inabidi kifanywe na wabunge majimboni kwao kwa kukusanya kero za wananchi, Kinachoendelea kufanywa na CCM sioni tatizo sababu ni propaganda na kampeni na watanzania wanapenda matukio (kwahio haya maigizo huenda...
  13. R

    Steve Nyerere Dubai, muendelezo wa Chawa wa Mama kujipanga kutetea DP World?

    Steve Nyerere ameshea katika ukarasa wake wa mtandao wa Kijamii matukio mbalimbali, akiwa Dubai, na nyingine akiandika kuwa "Tunarudi uwanja wa vita." Ndio kumaanisha wanarudi kuendeleza mapigano ya kutuaminisha Mkataba na DP World mambo mazuri, tufunge midomo?
  14. J

    Vipi vitambulisho vya machinga havina muendelezo? Basi walipe ushuru kwa halmashauri

    Wakuu habari, Kama mnavyojua Rais Magufuli alileta kitu kilichoitwa Vitambulisho vya Machinga mwaka 2019 Vitambulisho hivi ambavyo vililipiwa 20,000 vilipelekea ushuru ambao machinga walikuwa wakilipa kwa Halmashauri kufutwa, na badala yake wangelipa hiyo 20k kila mwaka. Sasa ni miaka 3...
  15. B

    Hili la Uingereza kupeleka waomba ukimbizi Rwanda ni muendelezo wa ukoloni

    Nchi ya Rwanda imekubali kupokea waombaji wa ukimbizi waliongia nchini Uingereza kwa njia zisizo halali. Watu hao wakifika Uingereza watakuwa wanapelekwa Rwanda wakati maombi yao yakifanyiwa kazi. Rwanda watapokea fedha kwa ajili ya kazi hiyo. Matarajio ni kwamba nchi hii itapokea wakimbizi...
  16. Wasanii wamjia juu Fid Q kwa kufanikisha Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki wote Tanzania

    Shirikisho la Muziki Nchini Tanzania ambalo Fid Q Ni katibu Mkuu, lilimtangaza Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki Wote nchini. Wasanii wamaupinga huu uteuzi na kudai wanataka Kusemewa na Mtu anaejua Changamoto zao na sio Steve ambae ni Mwanasiasa na Muigizaji. Wasanii Wameonekana kutokua...
  17. M

    Muendelezo wa Masoko Kuungua ni Sahihi kuwa Bado hatujapata Suluhisho?

    Siku za hivi karibuni kumekuwa na Ongezeko na kasi isiyokawaida ya Kuungua kwa Masoko Nchini hasa Nyakati za Usiku Jambo linalozua Maswali mengi zaidi. Sio kwamba kama Nchi ndio tumeanza kupata kuyaona Majanga haya kwa Mara ya Kwanza hapana, yamekwisha kutokea huko Nyuma lakini mtindo ndio...
  18. Kutoweka vijana watano Dar es Salaam na Uzembe wa Media za Tanzania. Hakuna Muendelezo wala Hitimisho

    Wanabodi, Nawasalimia popote mlipo. Mod's: pia nawasalimia nikiwatakia kazi njema. Twende kwenye Mada. Ni takriban wiki moja imepita tangu habari ya kutoweka katika mazingira tata.Kwa vijana watano huko Dar es Salaam. Tukio hilo liliripotiwa kutokea December 26/2021. Habari hiyo ilishika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…