muhammadu buhari

Muhammadu Buhari (born 17 December 1942) is a Nigerian politician who has been president of Nigeria since 2015. Buhari is a retired Major General of the Nigerian Army and served as military head of state from 1983 to 1985, after taking power in a military coup d'état.The term Buharism is ascribed to the authoritarian policies of his military regime. Buhari has said that he takes responsibility for anything over which he presided during his military rule, and that he cannot change the past. He has described himself as a "converted democrat".Buhari ran for president of Nigeria in 2003, 2007, and 2011. In December 2014, he emerged as the nominee of the All Progressives Congress for the 2015 general election. Buhari won the election, defeating incumbent President Goodluck Jonathan. This was the first time in the history of Nigeria that an incumbent president lost a general election. He was sworn in on 29 May 2015. In February 2019, Buhari was re-elected, defeating his closest rival former Vice President Atiku Abubakar by over 3 million votes.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

    Buhari ametumia miaka yote serkalini kujaribu kuifanya nchi ya nigeria iwe na utamaduni wa mashariki ya kati. Nigeria inafanya uchaguzi hivi karibuni na kwa makusudi amempa mwislamu mwenzake amrithi ili kukamilisha mpango wao mchafu wa muda mrefu. Ikumbukwe lile kundi la kigaidi la boko haram...
  2. Msafara wa Rais wa Nigeria wavamiwa na watu wenye bunduki, wawili wajeruhiwa

    Watu wenye silaha wameshambulia msafara timu ya wa walinzi na maafisa wa itifaki wa vyombo vya habari wa Rais Muhammadu Buhari mjini Katsina, na kuwajeruhi watu wawili kabla ya kudhibitiwa na jeshi. Msemaji wa Rais, Garba Shehu amesema kuwa Msafara huo ulikuwa umetangulia safari ya Rais Buhari...
  3. Nigeria: Rais Buhari akiri kushindwa kumaliza hali tete ya usalama

    Rais Muhammadu Buhari amekiri kushindwa kumaliza hali tete ya usalama Nchini humo, ahadi ambayo alitoa alipochaguliwa mwaka 2015. Kauli yake imekuja wakati baadhi ya Wananchi wakiandamana kuhusu Usalama Nchini Nigeria. Kundi la Boko Haram limezidisha matukio ya ghasia miezi ya hivi karibuni...
  4. ‪Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ampa heshima Maxence Melo wa JamiiForums kwenye mkutano wa AU‬

    Heshima kwenu wakuu, Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amempongeza Maxence Melo muanzilishi wa Mtandao wa JamiiForums kwenye mkutano wa AU. Ni jambo jema kwa waanzilishi wa JAMIIFORUMS na Tanzania kwa ujumla. Tunafungia vya kwetu kwa hiari, tutatumia vya wenzetu kwa lazima. MAXENCE MELO...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…