muhimbili hospitali

Muhimbili National Hospital ( Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, in Swahili) is a 1500-bed public teaching hospital located in Upanga West ward of Ilala District in Dar es Salaam Region of Tanzania. It is the national referral hospital as well as academic and research facility for the Muhimbili University of Health and Allied Sciences. It offers speciality care across the spectrum of clinical medicine. About 40% of its beds are for private patients. The hospital employs around 2705 workers including 328 doctors and 946 nurses.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Haya huwezi kupiga Bao la Mimba, andaa Shilingi Milioni 14 zako Muhimbili Hospitali wakupigie Bao lao upate Mtoto

    Mkurugenzi wa Huduma za upasuaji katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt Rachel Mhavile amesema Mnamo Septemba 24, 2024 serikali ilifanikiwa Kwa Mara ya Kwanza kuanzisha Kituo Cha upandikizaji wa mimba katika Hospitali za Umma Nchini ambacho kimegharimu Bilioni 1.72 Amesema katika kipindi Cha...
  2. C

    Nimeandikiwa rufaa Muhimbili hospitali ya mtoto wa miaka miwili na nusu

    Wakuu habari.. Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan. Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test...
  3. Chrysanthemum

    Naomba kujuzwa gharama za kufunga mtambo wa Bayogesi na nishati nyingine mbadala

    Habari wanajukwaa: Kama mnavyotambua na kuelewa ni nchi yetu na Dunia kwa ujumla tuko katika kampeni ya matumizi ya nishati mbadala kama bayogesi, umeme na Gesi nyinginezo ili kukwepa matumizi ya kuni na mikaa kupunguza uharibifu wa mazingira. Wataalamu na wazoefu wengine ambao pengine...
  4. Black Butterfly

    MOI yasema kuna ongezeko la Wagonjwa wa Nyonga na Magoti Nchini

    TAASISI ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Oxford cha Uingereza, imefanya upasuaji wa nyonga na magoti kwa wagonjwa 20, wakiwamo nane wa marudio. Wakati hayo yakifanyika, taasisi hiyo imesema kuna ongezeko la tatizo na...
  5. A

    KERO Kama Muhimbili wamebadili ratiba ya kuona wagonjwa waseme. Wanatupa usumbufu mkubwa tunaotoka maeneo ya mbali

    Habarini JamiiForums, Nawaailisha kero yangu kwenu iwafikie Hospitali ya Muhimbili, wanachotufanyia tunaokuja kuona wagonjwa si uungwana. Juzi July 10, 2024 nilikwenda kuona mgonjwa nikiwa nimeambatana na baadhi ya ndugu, kufika pale tukakatiliwa kuona wagonjwa tukiambiwa ndugu waliokwenda...
  6. Aramun

    Uteuzi: Aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma

    Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Prof. Abel Makubi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma Prof. Makubi anachukua nafasi ya Dkt. Alphonce B. Chandika ambaye amemaliza muda wake Kabla ya Uteuzi, Makubi alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa na Ubongo...
Back
Top Bottom