Muhoozi Kainerugaba (born 24 April 1974) is a Ugandan lieutenant general who serves as the commander of the land forces of the Uganda People's Defence Force (UPDF) and who was previously the commander of the Special Forces Command (SFC). Both the UPDF and the SFC are accused of using excessive force and abductions; Muhoozi and other senior officials are mentioned in an International Court of Justice complaint. In 2017 Muhoozi, the son of president Museveni, was appointed Presidential Adviser, fueling speculations he is being prepared for the presidency. He was reappointed as the Commander of the elite Special Forces Command (SFC) in December 2020. Lt. Gen. Muhoozi served in the same position from 2008 to 2017.
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, Mshauri Mkuu wa Rais wa Uganda kuhusu Operesheni Maalum, hivi karibuni alitangaza kuwa ofisi yake itaanza kufanya ukaguzi wa vyombo vyote vya habari nchini, kwa mujibu wa maelekezo ya Amiri Jeshi Mkuu, Rais Yoweri Museveni.
Muhoozi alisema kuwa wakurugenzi wakuu wa...
Mkuu wa Majeshi nchini Uganda (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, amesema mtu pekee anayemzuia kumshughulikia Mwanasiasa mashuhuri wa Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) ni Baba yake Rais Museveni ambapo...
Kwa sasa ndie Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, mtoto wa kiume wa Jenerali Museveni. Mipango ikikamilika basi CDF Kainerugaba ataungana na Marais wenzake kuendelea Kula keki hapo Afrika Mashariki
General Muhoozi amejitoa kwenye kinyang'anyiro cha uRais wa Uganda na atamuunga mkono baba yake mzee Museveni
Muhoozi atajikita zaidi kwenye kujenga Jeshi la kisasa
Sabato Njema 🌹
==========...
Mtoto wa kiume wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni Muhoozi Kainerugaba alitangaza siku ya Alhamisi kwamba nchi yake itatuma wanajeshi kuilinda Moscow ikiwa itakabiliwa na vitisho.
"Niite 'Putinist' ukipenda, lakini sisi, Uganda tutatuma wanajeshi kuilinda Moscow ikiwa itawahi kutishiwa na...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amempandisha cheo mtoto wake Muhoozi Kainerugaba, kutoka kwenye cheo cha Luteni Jenerali hadi kuwa Jenerali.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Jenerali Kainerugaba, amemshukuru baba yake kwa kumpa nafasi hiyo.
Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye ni Mtoto wa Rais Museven wa Uganda yupo ziarani nchini Rwanda
Amepewa zawadi ya Ng'ombe aina ya Inyambo baada ya kutembelea shamba la Rais Paul Kagame
Picha: Baba(Rais), Mtoto (Luteni Jenerali), Mama (Waziri wa Elimu)
Jenerali Muhoozi Kainerugaba ni nani?
Muhoozi Kainerugaba ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda na mama Janet Museveni, ambaye ni waziri wa elimu na michezo tangu mwaka 2016.
Ni mume wa Charlotte Nankunda Kutesa aliyemuoa...
President Yoweri Museveni has said his son Lt Gen Muhoozi Kainerugaba doesn’t need to be groomed by him to become Uganda’s next President.
In an exclusive interview with France 24’s Marc Perelman at State House Entebbe this week, President Museveni asserted that Muhoozi’s fate can only be...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.