Kitendawili cha miili iliyokatwakatwa katika Kitongoji cha Mukuru kwa Njenga Jijini Nairobi kinaendelea baada ya miili mingine ikiwa imefungwa katika magunia kupatikana leo Julai 13, 2024.
Maafisa wa Usalama wakiwemo wa Kurugenzi ya Upelelezi wa Jinai (DCI) wapo eneo la tukio kuongoza uchukuaji...