mume haruhusiwi kumkataza mke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    LGE2024 RC Malima: Mume haruhusiwi kumkataza mke kujiandikisha, akibainika atakamatwa

    Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima ametoa onyo kwa mtu yeyote atakayeleta vurugu ili kukwamisha zoezi la uandikishaji wa wapiga kura serikali za mitaa unaoendelea kufanyika Mkoani humo na nchi nzima kwa ujumla. Akizungumza na waandishi wa habari RC Malima amesema kuwa vyombo vya ulinzi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…