mume kumpenda mke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Mke wangu angekuwa anaongea nusu ya anavyoongea na boss wake labda mahusiano yetu yangekuwa na sura tofauti kabisa

    Leo nimemsikia wife akiongea na boss wake namna alivyokuwa anamjibu kwa heshima may be hapa nyumbani pangekuwa hata robo tu ya anavyoongea tungekuwa Bora Sana
  2. Nasema hivi, Mume anauma!

    Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta. Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano. Sasa mi si ndio...
  3. S

    Madhara ya mwanaume kuoa mwanamke asiyempenda

    Kuna sababu nyingi zinazoweza kumfanya mwanaume kuoa mwanamke asiyempeda. (Na kwa taarifa yako zipo ndoa nyingi za namna hiyo). Sababu hizo ni mwanaume:- 1. Kumkosa mke wa ndoto yake. 2. Kuachwa ama kufiwa na mke aliyempenda sana. 3. Kuachiwa watoto wadogo ghafla kwasabb ya talaka ama kifo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…