Umri wangu miaka 45,
Muislamu naishi Dodoma. Natafuta mchumba sifa awe mweupe, mzuri, asiwe bonge nyanya au mwenye maziwa mengi.
Awe angalau na kidato cha nne, awe tayari Kuishi Dodoma nilipo.
Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja au asiwe naye kabisa. Umri usizidi 35,
Akiwa tasa sawa tu. almuhimmu...