Nauliza tu baada ya kumsikia RC Makonda akisema Mungu hana Demokrasia. Mwanzo 1:26 - Tufanye mtu kwa mfano wetu.
Je, ni kweli?
Nawatakia Dominica njema 🌹
=====
RC Makonda atahadharisha akuhusu walaghai wanaotumia neno la Mungu kurubuni wananchi
Akizungumza na maelfu ya Wananchi...