was a happy family.
Ikatokea mwanamke akakutana na mnaijeria akaanza kumsomesha kuhusu biashara za mtandaoni.
Mwanamke akajaa kiburi akamwacha Mume wake tena kwa visa mbalimbali.
Mwanamke kagundua zile plans ni utapeli anajitahidi kurudi kwa jamaa yake aliyekua anampa japo kidogo nako...
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni na mitaani ni wazi Watanzania...
Kiukweli sijafirahishwa na kitendo cha katibu mkuu wa CHADEMA cha kushindwa kujibu maswali ya watangazaji na kujibu kwa jazba kila swali alilouluzwa na kwa maoni yangu maswali aliyouluzwa yalikuwa rahisi sana.
Kwa mtu kama katibu mkuu wa chama sikutarajia azingue kizembe kama vile!
Aliyekuwa Mbunge wa CHADEMA katika Bunge la 11 ( 2015-2020) Mhe Marwa Ryoba Chacha amesema Ezekiah Wenje ni kiongozi muongo muongo sana.
Michango yao kama wabunge kwenda kwenye chama ilikatwa moja kwa moja ( automatically) toka kwenye Mishahara yao na wao waliingiziwa bakaa tu kwenye akaunti...
1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa...
Akihojiwa na wasafi media, moja kati ya viongozi waandamizi wa chadema, Mr. Wenje amesema kwamba Lissu ni moja kati ya waandamizi wa uongo katika chama hicho. Na mara kadhaa amejaribu kupenyeza taarifa za uongo kufitinisha na kugombanisha viongozi wenzake wa chadema.
Lissu mara kadhaa pia...
Wenje yuko live anamvua nguo Tundu Lissu. Asema hana sifa za kuwa kiongozi wa chama ni muongo muongo sana.
Tuhuma zote anazotoa hazina uthibitisho ni za uongo uongo tu.
Hii scene ilipangwa tu
1. Kwanza unakamatwa kwa purukushani na inadondoka begi lenye vitambulisho wala si simu wala kingine! Ni ili watu watambue katekwa Nani
2. Millard Ayo anafanya coverage ya masaa 24 ku report kinachoendelea wakati siyo tabia yake
3. Inatoka report ya polis aina ya...
Hello wakuu Kuna Uzi niliandika hapa JINSI YA KUMUACHA MWANAMKE ALIYEKUGANDA.
Sasa kumbe huyu manzi muongo age ishamtupa mkono aliniambia ana miaka 28 wakati mm nina 24 nikaona isiwe kesi amenizid kidogo tu life acha lisonge.
Mmh Jana katika pitapita Facebook nikaona profile yake ya kitambo...
Kuna mtu aliwahi kunipa stori za maisha yake akiwa na pesa na akiwa hana.
Alinambia kua wakati yeye yuko fiti kiuchumi alikua anawashangaa wanaolalamika kwamba maisha magumu hawana chochote.
Baada ya miaka kadhaa nayeye akafulia, Sasa kwake ilikua ni hatari akawa anajiuliza kwamba hivi hata...
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Alichosema Kitila Mkumbo kwenye Sherehe za Uhuru Dodoma.
Wakati tunaanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 mwaka 2000, ilikuwa ni 32% pekee ya Watanzania waishio vijijini walikuwa wanapata huduma ya maji safi na salama, tukajiwekea lengo kuwa ifikapo 2025 tuwe tumesogeza hadi...
Natambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi
Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza na media na anafanya hivyo kwa malengo binafsi wala si uzalendo.
Zahara Michuzi alipata ruhusa kwa...
Yericko Nyerere, aliandika huko Facebook
Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda okoa mstakabali wa maisha ya binti huyu.
"Kaka Yericko pole na Majukumu, Naomba kaka nisaidie, mtoto huyu kwenye picha anaitwa SIFIKA DANIELY RUBEN, naomba apate Haki zake, Ipo hivi kaka, Nilikuwa natafuta binti wa...
Sina umri mkubwa katika kufuatilia soka nje ya uwanja. Sijawahi kushuhudia mtu muongo kama huyu Haji.
Sijui wenzangu mtusaidie kama aliwahi kutokea mtu muongo na mfitini kama huyu kwenye soka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.