murbug kagera

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Wizara ya Afya: Uchunguzi uliofanywa mpaka sasa haujathibitisha uwepo wa virusi vya ugonjwa wa Marburg katika mkoa wa Kagera

    Wizara ya Afya imepokea tetesi za uwepo wa ugonjwa wa Marburg katika Mkoa wa Kagera. Kufuatia tetesi hizo, Wizara imechukua hatua kadhaa za haraka ikiwemo: kutuma timu ya wataalamu; kufanya uchunguzi wa suala hili; kuchukua sampuli na kufanya vipimo vya maabara. Mpaka leo, tarehe 15 Januari...
Back
Top Bottom