Murtaza Ally Mangungu (born 29 September 1959) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Kilwa North constituency since 2010. chairman of simba sports club in tanzania from 2021
Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu, anasema kwamba historia inadhihirisha tofauti kati ya timu za soka, akitaja Simba kuwa na wachezaji wenye akili huku akieleza kuwa timu iliyoongozwa na Malofa wanawezaje kusaidia mapambano makubwa katika kuleta uhuru.
"Tumesoma vitabu vya historia na klabu...
Baada ya uvumi wa muda mrefu kuwa Mo Dewji, rais wa Heshima na Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC, Murtaza Mangungu haziivi hatimae washikana Mikono.
Soma Pia:
Mangungu amjibu Mo Dewji: Simba SC haiuzwi na haitauzwa kamwe
Baada ya kumjua kuwa kumbe Adui Mkubwa wa Simba SC ni Mwekezaji Mo Dewji...
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Sc Murtaza Mangungu anasema Uwanja ambao Wananchi Young Africans mnatamba nao sio mali yenu bali ni mali ya Mnyama Simba SC!
"Wenzetu Wamepewa Uwanja ni haki yao kama wakipewa na Serikali na sisi hatuwezi kulalamika ila na sisi tumeiandikia Serikali kuwakumbusha...
Achana na porojo za vikundi vinavyo hongwa na watu wenye nia mbaya ili kumhujumu ndugu Murtaza Mangungu (genius wa msimbazi), leo nataka kukumegea siri makini sana.
Ni hivi, ndugu Murtaza Mangungu ni kiongozi makini anayesimamia katiba na sheria ndiyomaana mpaka sasa hajajiingiza kwenye...
Salaam Wakuu,
Jana kupitia mitandao ya kijamii kumezunguka nukuu mbalimbali za Mwenyekiti wa sasa wa Simba Sports Club Murtaza Mangungu.
Miongoni mwa nukuu iliyonipa mashaka na kutaka kujua ukweli wake ni ile inayosema Mangungu amesema Simba haiwezi kuvunja Mkataba na Jobe na nyingine kwamba...
Njia wanazotumia wanasimba kukutaka ujiuzulu ni kelele za chura tu, pressure imekuwa kubwa kukufosi uachie uenyekiti kwa sababu umeshindwa kuleta furaha kwa wanasimba.
Halafu umewaongezea machungu sana pale ulipokuwa ukihojiwa na waandishi wachovu wa Mawingu kwani ulikuwa ukiongea na jeuri...
Njia wanazotumia wanasimba kukutaka ujiuzulu ni kelele za chura tu, pressure imekuwa kubwa kukufosi uachie uenyekiti kwa sababu umeshindwa kuleta furaha kwa wanasimba.
Halafu umewaongezea machungu sana pale ulipokuwa ukihojiwa na waandishi wachovu wa Mawingu kwani ulikuwa ukiongea na jeuri...
Kuna Wapumbavu wanataka Kuwaangushieni Zigo la Mavi ( Nnya ) pale Timu ikifungwa basi Lawama zote zielekezwe Kwenu wakati GENTAMYCINE nina uhakika kuwa Adui namba moja wa Simba SC yetu ni Mwekezaji Mohammed Ghullum Dewji ( Tajiri Kibyongo ) na kamwe wala siyo nyie na hata kama ni kweli nanyi mna...
Hapa una Murtaza Mangungu raisi wa Simba Sports club na pale una Engineer Hersi Saidi Raisi wa club ya Young African, yupi anafaa kuwa mwenyekiti bora kati ya wenyeviti hao wawili.
MZIZIMA DERBY
Ni mtanange wa kukata na shoka baina ya Azam Vs Simba katika nusu fainali ya kwanza ya kombe la shirikisho la Azam ndani ya dimba la NANGWANDA SIJAONA Mkoani Mtwara
Ni mchezo unaozikutanisha timu mbili zenye uhasama na mpira wa kiwango cha juu zaidi katika soka la Tanzania. Mara...
Murtaza Mangungu ameshinda katika Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo kwa kupata kura 1,311 akimshinda Moses Kaluwa kwa tofauti ya kura 266 huku kura 7 zikiharibika.
Walioshinda nafasi ya ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ni;
1.Dr Seif Ramadhan Muba - kura 1636
2.Asha Baraka - kura 1564
3.CPA Issa...