musonda

Musonda is a surname.
This is a list of people with this surname:

Charles Musonda (born 22 August 1969), a Zambian former professional footballer
Charly Musonda (born 1996), Belgian footballer
Christopher Musonda (born January 24, 1986), a Zambian football player who is currently a free agent.
Fewdays Musonda, a Zambian football manager. Former manager of CAPS United F.C. and Masvingo United F.C.
Frankie Musonda (born 12 December 1997), an English professional footballer
Jean Collins Musonda Kalusambo, a member of the African Union's Economic, Social and Cultural Council representing Central Africa
Joseph Musonda (born 30 May 1977 in Kalulushi), a Zambian football defender
Lamisha Musonda (born 27 March 1992), a Belgian footballer of Zambian descent
Lydia Musonda Kasangala (born 6 May 1988), a Congolese handball player
Lubambo Musonda (born 1 March 1995), a Zambian international footballer who plays for the Armenian club Gandzasar Kapan
Monica Musonda (born c. 1976), a Zambian businesswoman, lawyer and entrepreneur
Trevor Selwyn Musonda Mwamba a Botswana Anglican bishopIt could also refer to the Musonda Falls in Zambia

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Dube sio level ya kimataifa. Ni bora wacheze Mzize na Musonda kama washambuliaji. Dube apumzike

    Hii ni fact Dube kaja kuirudisha yanga nyuma
  2. M

    Tusisahau no Diarra, no Musonda, no Max, no Chama, no Yao Yao but no problem!

    Ni wachezaji muhimu na mhimili kwenye kikosi cha kwanza lakini awapo kwasababu za majeraha lakini iyo aijafanya timu itetereke bali dhana nzima ya team work inafanya kazi! Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024 Timu inacheza...
  3. Waufukweni

    Soka na Muziki: Diamond Platnumz, Chama na Musonda wakutana uwanja wa ndege

    Diamond Platnumz alipokutana na Cloutas Chama na Kenedy Musonda katika uwanja wa ndege Julius Nyerere International Airport, ilikuwa ni tukio la kufurahisha, hususan kwa mashabiki wa soka na muziki. Wakati Diamond akielekea Zimbabwe kwa ajili ya shoo, wachezaji hao walikuwa wakielekea Zambia...
  4. Its Pancho

    Swala la kumpeleka Musonda Mazembe watupe Baleke, tutaumia

    Wakuu Nimeskia sana tetesi kuwa kutakuwa na swap deal kati ya Yanga na Mazembe Means Musonda kwenda Congo na Baleke aje Yanga. Huu usajiri kwa kweli tunaenda kupigwa kama kweli, pakubwa sana. Why? Mpaka Mazembe wanakuja kwako kumtaka mchezaji ujue huyo ni a good player! Halafu pia hawa ni...
  5. Escotter20

    Ni wakati wa Musonda kuondoka Yanga

    Yanga inapaswa kufikiria kuachana na Kennedy Musonda. Tokea aje hapa nchini, Musonda hajatoa kile kilichotegemewa kwa 100%. Ni mchezaji mzuri sana, lakini yapo yanayofikirisha juu yake. Musonda hana muendelezo mzuri. Ni michezo michache sana amecheza kwa kiwango cha juu, iliyosalia anakuwa wa...
  6. Majok majok

    No diarra, no Aucho, no Pacome, no Musonda, no Guede, no Lomalisa no problem! Ni kisago tu, koplo mbangula alipigaje pale?

    Timu inayocheza kibingwa inaokota point aijalishi key prayers wake awapo ama wapo, kitendo Cha kuwakosa wachezaji muhimu 6 wa kikosi Cha kwanza na bado watu wakachapika ipasavyo ugenini ni ishara njema sana kuelekea ubingwa! Kuna timu juzi walikosekana 4 tu wakapewa kichapo kilichomfanya mpaka...
  7. LIKUD

    Ombi kwa Injinia Hersi Said: Chonde chonde naomba msimuache Musonda

    Nimeshtushwa na kichwa cha habari cha gazeti la Mwanaspoti la leo kwamba eti kwa sababu ya ujio wa Okra basi Moloko na Musonda hatma zao ndani ya Yanga zipo mashakani. Please Mr. President , do anything in ur power to make sure that Musonda doesn't go anywhere. I beg you by five books of...
  8. MSAGA SUMU

    Kennedy Musonda katoka mbali sana

  9. GENTAMYCINE

    Tumechoka kumuona Baleke akifunga sana tunamwomba na Musonda nae afunge mara kwa mara

    Haiwezekani Mchezaji wetu Yanga SC Kennedy Musonda tuliyemsajili kwa Mbwembwe zote huku tukiwacheka Simba SC kwa Kumsajili Mchezaji tuliyeona ni Garasa (Kapi) Jean Baleke hafungi na anakimbiakimbia tu Uwanjani kama Mlevi wa Togwa huku yule tuliyemdharau (Baleke) akiwa anafunga tu Magoli na...
  10. Moshi25

    Combination ya Mayele, Musonda na Sopu

    Just thinking from unbeaten utopolo mindset ninaona kabisa iwapo Yanga tukimchukua Sopu acheze nyuma ya Mayele pembeni yao Musonda hata Barcelona wanakaa! Huu utakuwa utatu kama MSN wa Barca au Liverpool Firminho, Salah na Mane! Mpira ni magoli alisema Pele haiwezekani tuwe na straika Kali tatu...
  11. Shujaa Mwendazake

    Ni wakati wa kuacha na mashaka juu ya Kennedy Musonda, He has already proven beyond doubt

    Ukiacha mukimbio ambayo tulimbeza nayo jamaa ana kasi ya kufika kwenye njia na kama si kuwa kwenye kivuli cha Fiston, mzambia ana MAMBO MENGI YA KUoFFER KWA WANANCHI. Anapenda kuassist (si mchoyo) lakini anaweza kutumika maeneo yote mbele yaani winga zote , mshambuliaji wa mwisho au...
  12. SAYVILLE

    Musonda atunukiwa medali na mtoto wa miaka 8

    Mchezaji wa Yanga Kennedy Musonda leo ametunukiwa medali aliyopewa na mtoto wa kutoka huko Spain aitwaye Lucas Gomez. Medali hiyo ilikabidhiwa kwa Musonda na Balozi wa Spain kwa niaba ya mtoto huyo. Musonda alipata zawadi hiyo kutokana na kuwa man of the match wakati akichezea club yake ya...
  13. Moshi25

    Musonda weka mbali na watoto

    Jana nimeangalia mechi Yanga vs Namungo nimekubali Musonda anajua. Namungo hawakuweza kumkaba Bali kumshika jezi tu jamaa anapepea hakamatiki! Tumfundishe Musonda kuwa akishikwa na beki awe anaanguka asiende!! Tupate Faulo au penati mechi ya Simba maana hawataweza kumkaba! Morisson awe mentor...
  14. BRN

    Takwimu: Baleke vs Musonda

    Haya wadau, hivi karibuni kupitia usajili wa dirisha dogo tumeshuhudia timu za Simba na Yanga zikifanya usajili wa kuboresha timu zao. Hapa nawaleta kwenu Baleke mchezaji wa Simba na Musonda wa Yanga ili tuwafananishe kwa takwimu na namna wanavyozutumikia timu zao. Yalisemwa mengi na wahasimu...
  15. GENTAMYCINE

    Kama Musonda akiingia katika Mfumo na akacheza pamoja na Mayele tarehe 9 April 2023 nitajificha kwa Aibu ya Kufungwa nyingi

    Kuna Watu nawashauri mapema tu kwakuwa nimeshaona hawana Mabeki wa Kuwazuia akina Mayele na Musonda hiyo tarehe 9 April, 2023 basi GENTAMYCINE nawashauri kuanzia leo wakirejea kutoka Kuzurula na kupoteza muda na Pesa kwa Mwarabu wawatafute Waganga wazuri wa Kienyeji wa Kuwazuia Washambuliaji...
  16. BARD AI

    Yanga yafikia makubaliano ya kumsajili Kennedy Musonda

    Klabu ya Yanga imefikia makubaliano na Power Dynamos kumsajili mshambualiaji hatari Kennedy Musonda kwa ada ya uhamisho wa Dollar laki moja sawa na shillingi milion 230 na Kennedy anatarajiwa kuwasili nchini wiki ijayo kujiunga na Yanga.
Back
Top Bottom