Musa Sadr al-Din al-Sadr (Arabic: موسى الصدر; 4 June 1928 – disappeared 31 August 1978) was an Iranian-born Lebanese scholar and political leader who founded the Amal Movement.Born in the Chaharmardan neighborhood of Qom, Iran, he underwent both seminary and secular studies in Iran. He belongs to the Sadr family from Jabal Amel in Lebanon, a branch of the Musawi family tracing to Musa Ibn Jaafar, the seventh Shia Imam and ultimately to the Islamic prophet Muhammad through his daughter Fatima. Therefore, Musa al-Sadr is often styled with the honorific title Sayyid. He left Qom for Najaf to study theology and returned to Iran after the 1958 Iraqi coup d'état.
Some years later, Sadr went to Tyre, Lebanon as the emissary of Ayatollahs Borujerdi and Hakim. Fouad Ajami called him a "towering figure in modern Shi'i political thought and praxis". He gave the Shia population of Lebanon "a sense of community". In Lebanon, he founded and revived many organizations including schools, charities, and the Amal Movement.
On 25 August 1978, Sadr and two companions departed for Libya to meet with government officials at the invitation of Muammar Gaddafi. The three were last seen on 31 August. They were never heard from again. Many theories exist around the circumstances of Sadr's disappearance, none of which have been proven. His whereabouts remain unknown to this day.
Mwezi April 2021, tarehe 10, CAG Mstaafu, Profesa Assad, aliitoa kauli ambayo ilizua gumzo kwa watu wengi. Wapo walioiunga mkono, huku wengine wakiipinga vikali.
Nafikiri wafuatiliaji wa Habari wangali wakikumbuka. Profesa alisema kuwa asilimia sitini ya viongozi wa Serikali hawana uwezo mzuri...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , kimetoa muda wa siku 3 kuanzia leo hadi 13/4/2023 kwa Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa awe amewajibika kutoka na ubadhirifu wa kutisha ambao umeanikwa na ripoti ya CAG .
Kauli hii ya kikakamavu imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika...
Profesa Mussa Assad ameonyesha masikitiko yake kuhusiana na wezi wa mali ya umma wanaochekewa.
Mussa Assad aliyewahi kuhudumu kwenye nafasi ya CAG kwa mafanikio , na baadaye kuondolewa kinyume cha Katiba na John Magufuli aliyekasirishwa na kufichuliwa ubadhirifu wa kutisha wa Serikali yake, ni...
Jumanne, 22 Novemba 2022
THREE OIL COMPANIES LOCK HORNS AS EX-CAG REMAIN ARBITRATOR
By FAUSTINE KAPAMA-Judiciary
THE High Court has refused to bar ex-Controller and Auditor General Prof. Mussa Assad from serving as an Arbitrator in pending arbitral proceedings between three giant petroleum...
Huku tunapumbazwa na hukumu ya Assad isiyo na Tija na iliyopitwa na wakati.
Kumbe yoote ni ili kuingiza mitambo ya "Richmond" mpya kinyerezi/Tanesco.!
Hii ilipitishwa na kikao gani cha bunge?
Je, hii itakuwa suluhisho la kudumu la kukatika Umeme nchini?
Tuliambiwa Tatizo ni service ya...
Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter
Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba...
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania (CAG), Profesa Mussa Assad amezungumzia suala la Tozo wakati akihojiwa katika kipindi cha Jahazi cha Clouds FM.
Profesa Mussa Assad amesema anaamini suala la Tozo lina hasara kubwa kuliko faida kwa Serikali.
Amesema “Kuna namna...
Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.
Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi...
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.
Amesema hayo kwa hoja ya kwamba Watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.
Aidha amesema...
assad kura kidigitali
assad sitapiga kura
kuchagua viongozi
kupiga kura kidigitali
kura kidigitali
mussaassad
prof assad
profesa mussaassad
wizi wa kura
wizi wa uchaguzi
Nafahamu kwamba watu wengi wameanzisha threads wakijaribu kuelezea suala la CAG Kisheria! Hata hivyo, wengi wao kama sio wote walichofanya ni kurundika vifungu vya kisheria bila kutoa ufafanuzi!
Mbaya zaidi, hawatoi ufafanuzi wa matumizi ya neno SHALL kwa mujibu wa sheria zetu! Nimelazimika...
Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad
Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.
BAADHI YA VIFUNGU VYA SHERIA/KATIBA...
Ni dhahiri sakata la CAG Prof. Mussa Assad na bunge ni kama vile moto ambao hautaki kuzimika, na bado ni sintofahamu hatma yake nani ataibuka kidedea. nawaza kwa sauti kama linaweza kutokea kama kilichotokea kwa Dr. Mwele Malechela.
Serikali ilimpiga fitna weeee kisa kasema ukweli, hatima...
While this is a truly dark cloud in our nation's history you have shown that people of integrity still exist and that you are one of them! History will judge you as a man of honour Prof Assad. #IStandWithCAG
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.