Huyu mchekeshaji ana mambo ya kitoto sana. Toka afungwe zile goli mbili za kizembe imani imeshashuka sana.
Baada ya kufahamu kwamba ni mchekeshaji kama kina Steve Nyerere, nimegunduwa kuna muda anakosa seriousness.
Ana mambo ya kitoto not yet matured.
Kocha Fadlu awe anampa nafasi Ally Salum...