mustakabali wa kenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Swali la Kiusalama: Mustakabali wa Kenya

    Taifa la Kenya lina jamii mchanganyiko. Ila moja ya jamii ambayo ni ya kipekee sana ni Wasomali ambao kiuhalisi walijikuta wako Kenya kutokana na sababu za kikoloni. Ila baada ya Kenya kupata Uhuru 1963, Wasomali waliokuwa wanakaa maeneo ya Kaskazini walianzisha mkakati wa kijeshi kujitoa Kenya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…