muswada wa walimu 2024

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Sheriff

    Uganda: Walimu ngazi zote kutakiwa kuwa na digrii, baadhi wataka Serikali kufadhili masomo kwani mishahara haitoshi kurudi shule

    Walimu kutoka baadhi ya maeneo nchini Uganda wameiomba serikali kufadhili elimu kwa walimu wote wa Daraja la III ili kuwawezesha kupata shahada za chuo kikuu. Wanasema kuwa mishahara yao ya sasa, ambayo ni midogo, haitoshi kugharamia masomo ya juu zaidi. Sera ya Kitaifa ya Walimu ya mwaka 2019...
  2. The Sheriff

    Uganda: Sheria mpya kuwataka Walimu kuwa na leseni ya kufundisha, na walimu wa ngazi zote kuwa na shahada ya kwanza kama sifa ya chini

    Wizara ya Elimu nchini Uganda imewasilisha Muswada wa Taifa wa Walimu wa 2024 Bungeni, ambapo Waziri wa Nchi wa Elimu ya Juu, John Chrysostom Muyingo, ameeleza kuwa muswada huo unalenga kuboresha viwango vya ufundishaji nchini humo. Kulingana na Wizara ya Elimu na Michezo, sheria hiyo...
Back
Top Bottom