mutale

Mutale is a main town in Vhembe District Municipality in the Limpopo province of South Africa.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Kama Joshua Mutale amegeuzwa joka la kibisa namna ile basi tujiandae hivyo hivyo kwa Elie Mpanzu

    Joshua Mutale ni moja ya mawinga hatari sana hapa Africa, ni kiungo wa pembeni sio wa kawaida, ana uwezo wa kupiga chenga, anao uwezo wa kufunga mabao katika mazingira yoyote, anaweza kucheza pia kama kiungo wa kati. Joshua Mutale ni kiungo msumbufu sana, anaweza kufanana na Steven Mapunda...
  2. S

    Ni afadhali Simba imrudishe Morrison Koliko huyu Joshua Mutale

    Aisee hyu Jamaa arudi kwao maana Simba imemshinda, bora Morrison au arudishwe Sakho kuliko hasara hii, hii ni hasara kubwa kwetu, rudisheni Morrison
  3. GENTAMYCINE

    Mutale akiachwa Simba SC ili Mpanzu aingie nitakuwa ni mwenye Furaha kubwa ila kwa aliyemsajili Mutale Simba SC atuombe Radhi upesi

    Mchezaji huwezi kuwa Mfupi kama Mutale halafu hapo hapo Umenenepa hovyo na una Kichwa Kikubwa ukawa mzuri.
  4. Metronidazole 400mg

    Kuhusu MUTALE hamna mchezaji pale tumepigwa!!

    Hata apewe Karne kucheza ni mchezaji wa kawaida Sanaa, ball control na end product yake mbovu kabisa. Anacheza Kama ndio anajifunza mpira....BIG NO HAKIKA hapa TUMEPIGWA TENA!!!
  5. Singasinga

    Winga Mutale winga Balua

    Hawatoki waarabu Uzi tayari.
  6. L

    Wachezaji wa Simba wanashushwa viwango na washirikina

    Wachezaji wetu wanakuja wakiwa wameacha historia kwao, Simba iliwasajili kutokana na Ubora wao, lkn huwezi amini jamaa wakianza t kuitumikia Simba uwezo unaporomoka kidogo kidogo. Joshua Mutale ni moja ya viungo hatar kabisa ukanda huu lkn ameanza taratibu kuonekana Saido aliyechangamka...
  7. SankaraBoukaka

    Kulazimisha kuwategemea Zimbwe na Kapombe/Kijiri wapige Cross kama Pre-assist au Assist vinachangia kuiporomosha Simba

    Nimekuwa nikifuatilia huu mfumo unaochezwa na Simba sasa wa kuwategemea mabeki wa pembeni waje kutengeneza nafasi kwenye kufanikisha mashambulizi pale na kushuhudia unavyotufelisha kwa sasa. Kwasababu: Zimbwe tokea enzi hizo ni mbahatishaji kwenye kupiga cross sahihi na pasi za mwisho, na...
Back
Top Bottom