Habari wakuu, mada hapo juu inahusika.
Nina mdogo wangu ana Miaka 23 wa Kiume amekutwa na Ugonjwa wa Ajabu wa kuwashwa mwili mzima. alienda Hopsitali wakamwambia ni Mzio yaan aleji ambayo ilisababishwa na Ile dawa ya Mbu ya Kupaka.
Walimpa dawa za aleji akatumia amepona japo kwa sasa amekuwa...