muziki wa dansi

  1. GENTAMYCINE

    Nini Kinamsibu au kimempata Mzee wetu wa Miziki ya Dansi King Kikii?

    Nilivyomuona mwaka juzi au mwaka jana mwanzoni na nilivyoona alivyo sasa si tu nimesikitika bali nimechozika pia. Naomba Bendi zote za Dansi nchini Tanzania ziandae Tamasha kisha Kiingilio chote kikamsaidie Mzee wetu huyu. Nina uhakika hata baadhi yetu hapa wenye Mioyo myepesi mkipandishiwa...
  2. Kyambamasimbi

    Serikali ijenge Makumbusho ya Muziki wa Dansi iliyosheheni vifaa, picha za wasanii, wa Muziki wa Dansi. Itakuwa kama sehemu ya Utalii

    Kutokana mchango wake katika Sanaa ya Muziki, ni maoni yangu serika ijenge Musical Museum ambayo itaonesha vifaaa na picha za wasanii wa wamuziki wa Dansi. Na mtangazaji nguli Mwanaethnomusicologist wa TBC taifa Masoud Masoud awe mkurugenzi mkuu wa Makumbusho hiyo. Tutakuwa tumeitendea...
Back
Top Bottom