muziki wa singeli

Muziki wa dansi (in Swahili: "dance music"), or simply dansi, is a Tanzanian music genre, derivative of Congolese soukous and Congolese rumba. It is sometimes called Swahili jazz because most dansi lyrics are in Swahili, and "jazz" is an umbrella term used in Central and Eastern Africa to refer to soukous, highlife, and other dance music and big band genres. Muziki wa dansi can also be referred to as Tanzanian rumba, as "african rumba" is another name for soukous.
Muziki wa dansi began in the 1930s in the Dar es Salaam area (where most dansi bands come from),and it is still popular in Tanzania, although new generations are more likely to listen to bongo flava or other forms of pop music. Notable dansi bands include DDC Mlimani Park, International Orchestra Safari Sound, Juwata Jazz, Maquis Original, Super Matimila, and Vijana Jazz.

View More On Wikipedia.org
  1. Farolito

    Napinga wazo la Muziki wa Singeli kusambazwa duniani

    Habari, Wiki kadhaa zilizopita alisikika Waziri wa Utamaduni na michezo Profesa Kabudi akisema kwamba serikali kupitia wizara yake ina mpango wa kuupeleka muziki wa singeli Kimataifa. Mimi binafsi napinga na ninakataa wazo hili kwa sababu zifuatazo; 1.Ni muziki unaotumia lugha chafu na unatoa...
  2. jingalao

    Ijue Sanaa ya Singeli kuna namba zinatajwa kwenye muziki wa Singeli zina maana gani?

    Nawakaribisha wapenzi wa Singeli,Wanazuoni wa sanaa ,watoto wa kitaa ,Ma itteligentsia wote na wataalamu wa codes. Hebu tuambieni hizi namba zinazotajwa kwenye muziki wa singeli zina maana gani?? #32 #26 #45 n.k TAHADHARI:UKITAKA KUIELEWA NA KUIPENDA SINGELI SIKILIZA KATIKATI YA MISTARI...
  3. Huihui2

    Nafuu tusiwe na utambulisho kuliko singeli kuwa utambulisho wa muziki wa Tanzania

    Waziri amekengeuka. Wametumia kigezo gani kuifanya singeli ndiyo alama ya Taifa? Muziki wenyewe umejaa matusi nafuu ingekuwa taarab kwa kuwa yenyewe ina mfumbo. Singeli huwezi kusikiliza na watu unaowaheshimu kama wazazi au watoto, abadan. Pili ukikuta muziki wenyewe unavyochezwa, ni mtindo...
  4. jingalao

    Singeli/mchiriku wa Juma Mpogo akumbusha amani - Baba wa Taifa

    Singeli muziki wa Taifa utake usitake. Msikilize kwa makini msanii huyu aliyeenda bila ubilionea ila kazi yake itatukuka milele.
Back
Top Bottom