mv mwanza

MV Mwanza is a Lake Victoria ferry operating on Lake Victoria in Tanzania. The ferry is a Ro-Pax ferry that operates between the villages of Kigongo and Busisi south of Mwanza town across the Mwanza Gulf in east-west direction. MV Mwanza is not the only ferry along the route (there are three other ferries) which highlights the relevance of the ferry service.The ferry, now the largest Ro-Pax ferry on Lake Victoria, has two decks for vehicles and goods (main deck and boat deck) and an indoor passenger deck with seats. It was constructed by a local Tanzanian construction company in Mwanza, Songoro Marine Transport.

View More On Wikipedia.org
  1. Informer

    TBC: Mfanyakazi aliyesoma habari kuhusu Meli ya MV Mwanza amechukuliwa hatua

    Vongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unapenda kutoa fafanuzi kuhusu sehemu ya maudhui ya matangazo mbashara ya hafla ya ushushaji wa Meli ya MV Mwanza, Ziwa Victoria iliyofanyika tarehe 12 Februari, 2023 kwamba mtangazaji alichokusudia kukisema ni kuwa MV Mwanza itasafirisha mizigo...
  2. Roving Journalist

    Rais Samia akikagua meli mpya ya MV Mwanza (Hapa Kazi Tu) katika Bandari ya Mkoa wa Mwanza

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Meli Mpya ya hapa kazi tu katika Bandari ya mkoani wa Mwanza leo tarehe 14 Juni, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteremka kutoka ndani ya Meli Mpya ya Abiria na Mizigo ya MV...
  3. J

    MV MWANZA " Hapa Kazi Tu" yashushwa Majini, ni furaha kuu Jijini Mwanza!

    Tukio liko mubashara TBC Watu ni Wengi sana sana kwa kweli hii ni Baraka Wafuasi wa vyama wakiwa Ndani ya sare zao nao wapo CCM, Chadema na ACT Wazalendo Mungu ni Mwema wakati Wote
  4. K

    Meli ya MV Mwanza kushushwa majini Februari 12

    Ni Magufuli tena. Tukio hilo la kihistoria la kushushwa kwenye maji kwa meli hiyo inayojengwa katika Bandari ya Mwanza Kusini litaongozwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Huduma ya Meli nchini (MSCL), Eric Hamissi amewaambia waandishi...
  5. JanguKamaJangu

    Serikali yaonesha picha matengenezo ya MV Mwanza yalipofikia leo Januari 11, 2023

    Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeweka picha hizi za MV Mwanza na kusema kuwa ndivyo hali ilivyo kufikia asubuhi ya Jumatano Januari 11, 2023:
Back
Top Bottom