mv victoria

A number of motor vessels have been named Victoria, including:

MV Victoria (1931), an Italian ocean liner
MV Victoria (1941), an Argentinian tanker damaged by German submarine U-201 on 17 April 1942
MV Victoria (1952), an Italian ocean liner
MV Victoria (1959), a Kenya ferry in service as of 2012
MV Victoria, built in 1965 as Kungsholm and renamed Victoria in 1995
MV Victoria (1979), a Jordanian cargo ship attacked by Somali pirates in 2008

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    TASHICO: Ni kweli huduma za Meli ya MV Victoria zimesimama kwa ajili ya service ya kawaida

    Baada ya hoja ya Mwanachama wa JamiiForums.com kuhusu kusimama kwa huduma ya Meli ya MV Victoria, ufafanuzi umetolewa, kusoma hoja ya awali bofya hapa ~ Nimekosa huduma ya Meli ya MV. Victoria, inadaiwa haifanyi kazi wiki ya pili sasa, Mamlaka mbona mpo kimya? MAELEZO YA KAMPUNI YA MELI...
  2. BigTall

    MSCL: Ni kweli mtambo wa kubebea mizigo wa MV Victoria ulipata hitilafu ya kiufundi

    TAARIFA KWA UMMA UFAFANUZI WA 'CRANE' YA NEW VICTORIA HAPA KAZI TU Mwanza, Tanzania. Kuna taarifa iliyochapishwa na mtandao wa kijamii ikieleza kuharibika kwa mtambo wa kubebea mizigo (crane) wa meli ya New Victoria Hapa Kazi Tu. Taarifa hiyo imeeleza kuwa kadhia hii imekuwepo kwa kipindi cha...
  3. esther mashiker

    Ukarabati MV Victoria, MV Butiama waridhisha

    Mwenyekiti wa Bodi ya Tasac, Profesa Thadeo Sata, alitoa taarifa hiyo alipozungumza na waaandishi wa habari baada ya kukamilika kwa ziara ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa meli hizo zinazotegemewa kuanza safari mwezi Machi, 2020. Prof. Sata alisema lengo la ziara hiyo iliyoongozwa na uongozi...
  4. instanbul

    Hivi meli ilishaanza kujengwa na MV Victoria ukarabati umefikia wapi au zilikuwa swaga kama zilizozoeleka?

    Mwenye kujua ujenzi wa meli mpya ya kisasa umefikia wapi atujulishe na ukarabati wa MV Victoria na Serengeti umefikia wapi maana mkulu alisema December mkataba unasainiwa na ujenzi kuanza ifikapo January je kuna hatua yoyote iliyopigwa?tumechoshwa kudanganywa kwa miaka ishirini sasa
Back
Top Bottom