A number of motor vessels have been named Victoria, including:
MV Victoria (1931), an Italian ocean liner
MV Victoria (1941), an Argentinian tanker damaged by German submarine U-201 on 17 April 1942
MV Victoria (1952), an Italian ocean liner
MV Victoria (1959), a Kenya ferry in service as of 2012
MV Victoria, built in 1965 as Kungsholm and renamed Victoria in 1995
MV Victoria (1979), a Jordanian cargo ship attacked by Somali pirates in 2008
Baada ya hoja ya Mwanachama wa JamiiForums.com kuhusu kusimama kwa huduma ya Meli ya MV Victoria, ufafanuzi umetolewa, kusoma hoja ya awali bofya hapa ~ Nimekosa huduma ya Meli ya MV. Victoria, inadaiwa haifanyi kazi wiki ya pili sasa, Mamlaka mbona mpo kimya?
MAELEZO YA KAMPUNI YA MELI...
TAARIFA KWA UMMA
UFAFANUZI WA 'CRANE' YA NEW VICTORIA HAPA KAZI TU Mwanza, Tanzania.
Kuna taarifa iliyochapishwa na mtandao wa kijamii ikieleza kuharibika kwa mtambo wa kubebea mizigo (crane) wa meli ya New Victoria Hapa Kazi Tu. Taarifa hiyo imeeleza kuwa kadhia hii imekuwepo kwa kipindi cha...
Mwenyekiti wa Bodi ya Tasac, Profesa Thadeo Sata, alitoa taarifa hiyo alipozungumza na waaandishi wa habari baada ya kukamilika kwa ziara ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa meli hizo zinazotegemewa kuanza safari mwezi Machi, 2020. Prof. Sata alisema lengo la ziara hiyo iliyoongozwa na uongozi...
Mwenye kujua ujenzi wa meli mpya ya kisasa umefikia wapi atujulishe na ukarabati wa MV Victoria na Serengeti umefikia wapi maana mkulu alisema December mkataba unasainiwa na ujenzi kuanza ifikapo January je kuna hatua yoyote iliyopigwa?tumechoshwa kudanganywa kwa miaka ishirini sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.