Ndugu zangu,
Nafikiri nipo katika wakati mgumu sana, nazeeka na nimeingiwa na hofu, nimegundua nauingia utu uzima, nimechukia, naogopa nahisi maisha ndio basi, kila nikipita nasalimiwa shikamoo, sipendi jamani wengine wananisalimia nawaona kama tunalingana, naogopa sana uzee.
Mvi zinabisha...