mviwata

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Serikali iitupie jicho kali MVIWATA na viongozi wake, tayari wamejibainisha kuwa na ajenda ya chinichini ya kisiasa

    Bila shaka MVIWATA Wana ajenda ya kisiasa, na Wana Wana Siasa wao ambao wanaitumia taasisi hiyo kwa malengo ya kisiasa ya kuharibu amani na utangamano. Taasisi hii inawatumia wakulima kama chambo tu, na inajifanya kwamba ni taasisi ya wakulima, kumbe ukiiondolea blanket(lifting the veil)...
  2. Ya MVIWATA yapo gizani, ya Bashiru ndio yanapigiwa kelele

    Msukuma na Kibajaji hawa ni watu hatari sana kwa ukomavu wa majadiliano yenye afya. Ukiona hawa watu wameibuka ujue kuna jambo ambalo Wananchi linawagusa, Balozi Bashiru kasema yake, huyu anatabia ya kusema ukweli japo sio mwanaCCM huyu. Anahoja ya maana sana hapaswi kutishwa, na ujinga huu wa...
  3. UVCCM mngemlaumu zaidi adui yetu huyu badala ya Dkt. Bashiru Ali, ningewaona mna akili timamu

    UVCCM hebu niambieni GENTAMYCINE hivi kweli Dk. Bashiru Ali ni Adui yenu Kumzidi Adui Mkuu huyu wa Watanzania wote aliyeko CCM? 1. Fisadi na Mficha Hela za Misaada 2. Mlevi wa Wine na Muhuni 3. Mdini kupita Maelezo 4. Mbinafsi wa kupenda 5. Mlipiza Kisasi kwa Aliyemtangulia 6. Mpumbavu...
  4. Simpendi Dkt. Bashiru, lakini kwa hili namuunga mkono

    Hakuna asiye juwa kasia aliyetuleteaa bashiru akishirikina na jiwe ktk kukandamiza democracia na kudidimiza utawala bora, utawala unayo fata sheria. Bali wao na jiwe waliteka nchi nzima na kutaka kumiliki CCM na serikali yote madudu ni mengi sana wamefanya sitaki nijikite uko. Kwa hili alilo...
  5. L

    Maneno ya Dkt. Bashiru ni shambulizi kwa Rais Samia na yenye ajenda ya siri. Aitwe haraka na kuhojiwa na chama

    Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu kuandika. Na nitakapokuwa nimekosea masuala ya herufi nisamehewe Ndugu zangu maneno ya Dr Bashiru katibu...
  6. J

    Dkt. Bashiru: Unaposhukuru na kusifia unapopewa haki yako unakuwa hauna "maana"

    Hii kauli ya Dr Bashiru kwa MVIWATA nataka niiangalie kikatiba na kiBiblia zaidi Sitajali hata kama yeye alikuwa akishukuriwa na Kusifiwa wakati anatimiza Majukumu yake ambayo kwayo alilipwa mshahara "Ukishukuru na Kusifu unapopewa Haki yako unakuwa hauna maana" Wabunge husemaga: Mh Spika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…